Ni kampuni binafsi inayojihusisha na masuala ya mikopo ya dharura kwa wafanyakazi, watu binafsi na wafanya biashara kwa dhamana rahisi. Ofisi yetu ipo Classic Mall, Mbezi Beach, Plot No 182, Block C Kinondoni Municipality, Dar es Salaam. Kampuni yetu imesajiliwa chini ya sheria ya makampuni ya mwaka 2002 na kuanza kazi tarehe 19/10/2020. Utambulisho wa kampuni namba 144360427.
DIRECTOR
MANAGEMENT
DIRECTOR
MANAGEMENT
DIRECTOR
MANAGEMENT
LOAN OFFICER
OPERATIONS/MARKETING
FINANCIAL ACCOUNTANT
BUSINESS ADMINISTRATOR
OPERATIONS
DRIVER
OPERATIONS