• (+255) 678700044 | +255(0)222 628 081
  • contact@madampesa.co.tz
  • Bima
    • Bima ya magari
    • Bima ya moto
    • Bima ya majini
    • Bima ya nyumba
    • Bima ya kilimo
    • Bima ya majeruhi
    • Bima ya kinamama
    • Vigezo na masharti
  • Form za bima
  • Mikopo
    • Mkopo Binafsi
    • MKopo wa Biashara
    • Mkopo wa Mfanyakazi
  • Nyumbani
  • Kuhusu sisi
  • Huduma zetu
  • Mawasiliano
  • Vigezo
  • Habari & Matangazo

Huduma zetu

nyumbani » huduma zetu

Mikopo ya wafanyakazi

DHAMANA NI MSHAHARA
Wafanyakazi wanaweza kukopo kiasi wanachokihitaji kulingana na kiwango cha mshahara wako kwa mwenzi mmoja. Dhamana itatolewa na muajiri wako kwa kuthibitisha mshahara wako kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

Mikopo Binafsi

DHAMANA NI GARI, PIKIPIKI AU BAJAJI
Mtu binafsi anaweza kukopa kiwango anachokihitaji kwa kuzingatia thamani ya dhamana aliyonayo. Dhaman yake ni thamani ya Gari, Pikipiki au Bajaji.

Mikopo ya Biashara

DHAMANA NI BIASHARA
Mfanyabiashara anaweza kukopa kwa ajili ya kukuza biashara yake, kiwango cha mkopo kitazingatia thamani ya biashara anayomiliki kwa kuzingatia uthibitisho wa fedha biashara yake imekuwa ikiingiza kwa kipindi cha miezi mitatu mfululizo.

Mikopo ya Haraka

Mikopo hii ni kwa lengo la kutatua tatizo la haraka.

  • Gharama za dharura za hospitali.
  • Msiba na shughuli zingine za kifamilia.
  • Ada ya shule ya mtoto.
  • Kuanzisha biashara, kuongeza kipato.

Wasiliana Nasi

Habari mpya

  • Habari njema kwa wakazi wa Dar es Salaam.

Mawasiliano

  • Classic Mall, Mbezi Beach, Plot No 182, Block C Kinondoni Municipality,Dar es Salaam.
  • contact@madampesa.co.tz
  • (+255) 678700044 | +255(0)222 628 081
  • madampesa.co.tz

© Madam Pesa Microfinance Ltd. All rights reserved | Design by 2DaySky

Modal content

Ingia kwenye akaunti yako

//Modal content
Modal content

Badili Nywila yako

//Modal content